SUA2024-10-082024-10-082022-09https://sua.ac.tz/news/majani-ya-juncao-kuwa-suluhisho-la-malisho-ya-mifugohttp://10.10.11.5/xmlui/handle/123/937Public Use-TanzanianWafugaji nchini Tanzania wametakiwa kuanza kulima majani aina ya JUNCAO yanayozalishwa katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kutokana na majani hayo kuonekana kuwa na faida nyingi kwa mifugo na uwezo wake wa kukua haraka na kuvumilia ukame na hivyo kupunguza changamoto za malisho wakati wa kiangazi na kumaliza migogogo ya wakulima na Wafugaji.Kilimo cha Malisho ya MifugoKilimo cha Majani ya Malisho ya MifugoMajani ya JUNCAO kuwa suluhisho la malisho ya mifugoArticle