Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania2026-02-172026-02-172024https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/959KipeperushiMATUNZO YA SHAMBA NA UVUNAJI Ili kupata mavuno yenye tija ni muhimu kutunza vizuri shamba la mizabibu. Matunzo ya shamba ni pamoja na kupalilia, kutifulia, kudhibiti visumbufu na kukatia mizabibu.  Palilia shamba mara kwa mara ili kudhibiti magugu, kwa wastani palizi tatu zinatosha katika msimu mmoja .  Ni muhumu kutifulia udongo kwenye shamba la mizabibu kila wakati ili kuvuna maji ya mvua.otherZabibuMtunzo ya zabibuUvunaji wa zabibuMatunzo ya shamba na uvunaji wa zabibuOther