Ghala la Taarifa na machapisho ya kilimo

Ghala hili,limebeba machapisho na taarifa mbalimbali za kilimo zilizo rahisishwa kwa matumizi ya wakulima, wafugaji, wavuvi, maafisa ugani na wadau wengine wa kilimo.

Jumuiya katika mkulima

chagua jumuiya kutafuta fungu lake.

Recently Added

  • Wizara ya kilimo chakula na ushirika (Wizara ya kilimo Chakula na Ushirika, 2006-04)
    Mwaka 2005/2006 Tanzania inakabiliwa na upungufu inkuwa wa chakula. Sababu kubwa ya upungufu huo ni hah ya ukame ulioikumba nchi yetu. Hata hivyo tatizo hilo la upungufu wa chakula lisingckuwa kubwa kiasi hicho iwapo ...
  • TARP II Project (Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo SUA, 2002-06)
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilinio (SUA) kwa kushirikiana na Wizara ya Kilinio na Uhakika wa Chakula (MAFS), pamoja na Chuo Kikuu cha kilinio cha Norway (NLH). kinaiekeleza Mradi wa Uhakika wa Chakula na Palo la Kaya ...
  • Halmashauri ya Taifa ya Mazao (Halmashauri ya Taifa ya Mazao, 1999)
    The aim of this pamphlet is to supplement our earlier ones like the “Official Handbook” and “Halmashauri ya Taifa Isimamiayo Mazao” in making the citizens of this country more informed about their National Agricultural ...
  • Maganga, S. (TFNC Readers series, 1994)
    Mwili wa binadamu unahitaji maji na virutubisho vya aina mbali mbali. Virutubisho hivyo ni vile vya aina ya nishati, utomwili, madini na vitami-ni. Vyote hivi huhitajika katika kulinda na kujenga mwili ikiwa ni pamojana ...
  • Shetto, M.C. (chuo cha kilimo cha Sokoine, 2003-06)
    Wanawarsha pia waliorodhesha mazao ya jamii ya mizizi ili kuelewa aina za mazao haya. Aina tano za mazao ya jamii ya mizizi yaliorodheshwa nayo ni: Muhogo, Viazi vitamu, Magimbi, Viazi vikuu, Viazi mviringo, angawizi ...

View more