Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Српски
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
  • Communities & Collections
  • All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Српски
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Mtega, Wullystan"

Now showing 1 - 2 of 2
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Masoko ya mazao ya kilimo
    (Sokoine university of A griculture, 2020-05-20) Mtega, Wullystan
    Mkulima anatakiwa kutafuta soko la mazao yake kabla hajaanza shughuli ya uzalishaji shambani. Ili kupata taarifa za kutosha, mkulima anashauriwa kufanya utafiti wa soko. Mkulima anaweza tumia njia kuu mbili: (i) kuandaa dodoso na kuwauliza wadau muhimu wa soko la zao alilozalisha na, (ii) kutembelea masoko ya mazao na kukusanya taarifa kwa njia ya kuona. Utafiti wa soko humwezesha mkulima kutoa maamuzi sahihi juu ya uuzaji wa mazao yake. Katika kuuza mazao, mkulima lazima azingatie sheria, kanuni na taratibu za nchi na soko husika. Pia, ni muhimu kuelewa namna nguvu ya soko inavyofanya kazi. Hii itamsaidia mkulima kujua lini ayapeleke mazao sokoni na hivyo kupata bei nzuri zaidi
  • No Thumbnail Available
    Item
    Upatikanaji na matumizi ya taarifa za kilimo.
    (Sokoine University of Agriculture, 2021-05-16) Mtega, Wullystan
    Shughuli za kilimo huhusisha uzalishaji wa kumbukumbu tofauti. Kumbukumbu hizo hutokana na malipo mbalimbali yafanywalo shambani na shughuli za uzalishaji shambani. Kumbukumbu za kifedha hurekodi gharama za uwekezaji za kudumu na gharama za uendeshaji wa miradi ya kilimo. Zile za uzalishaji hurekodi taarifa mbalimbali zisizohusu pesa ambazo hutokea shambani. Kumbukumbu zote hizi ni lazima zirekodiwe kwa usahihi na kwa wakati ili zisaidie katika kutoa maamuzi. Wakulima wanatakiwa kutunza taarifa ya matukio yote ya muhimu yahusuyo shughuli za kilimo zinazofanyika katika mashamba yao. Bila kutunza kumbukumbu za kilimo wakulima hujikuta wanaingia kwenye hasara zisizo za msingi.

DSpace software copyright © 2002-2026 LYRASIS

  • Cookie settings
  • Privacy policy
  • End User Agreement
  • Send Feedback