Ghala la Taarifa na machapisho ya kilimo

Ghala hili,limebeba machapisho na taarifa mbalimbali za kilimo zilizo rahisishwa kwa matumizi ya wakulima, wafugaji, wavuvi, maafisa ugani na wadau wengine wa kilimo.

Photo by @inspiredimages
 

Communities in DSpace

Select a community to browse its collections.

Now showing 1 - 1 of 1

Recent Submissions

Item
Kilimo mseto na urutubishaji wa shamba la mkonge
(TARI, 2024) Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania (TARI)
Kilimo mseto ni mchanganyiko wa mazao mbalimbali na mkonge katika shamba. Kilimo mseto katika urutubishaji udongo wa mashamba ya mkonge kina umuhimu kutokana na mfumo wa upandaji. Mfumo wa upandaji mkonge shambani una shawishi kilimo mseto ili kuboresha afya ya udongo.
Item
Kitalu mkeka kilichoboreshwa
(Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), 2024) Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI)
Kitalu mkeka ni nini? Kitalu mkeka ni uoteshaji wa miche ya mpunga katika udongo iliyochanganywa na samadi na kusambazwa kina kifupi juu ya ardhi iliyosawazishwa na isiyoruhusu mizizi kupenya Miche hii inakuwa tayari kupandwa ndani ya siku 8 -14 baada ya kuota.
Item
Udhibiti husishi wa visumbufu vya viazi mviringo.
(TANZANIA PLANT HEALTH AND PESTICIDES AUTHORITY (TPHPA), 2024) Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania, Wizara ya kilimo
Kipeperushi kinachoelezea Magonjwa mbalimbali yanayoshambulia viazi mviringo viwapo shambani na jinsi ya kujua na kuchukua hatua ya uthibiti. .
Item
Matumizi ya kiuagugu kwenye mikorosho
(Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), 2025) Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI)
Jinsi ya kudhibiti magugu wakati wa kuanzisha shamba inashauriwa kuchimba visiki na vichaka vyote. Changanya mazao ya msimu katika shamba la Mikorosho hadi pale Mikorosho itakapo songamana. Fanya palizi ya shamba la Mikorosho kwa kulima kwa jembe la mkono, trekta au fyeka kwa kutumia panga au zana zozote.
Item
Mbegu bora za nafaka zinazozalishwa na ASA
(Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA), 2024) Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA)
kipeperushi hiki kilichotolewa na ASA ambayo inazalisha mbegu mbalimbali ili kuleta mazao mengi shambani kinazungumzia mbegu za mahindi na mtama.