Browsing by Author "Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania"
Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
Item Kilimo cha mbaazi cha mda mrefu(Tari, 2023) Taasisi ya utafiti wa kilimo TanzaniaMbaazi ni zao jamii ya mikunde,faida kubwa ya zao hili ni chanzo cha viini lishe vya protini kwa binadamu na wanyama. Linavumilia ukame. Hupunguza umaskini kwani zao hili ni chanzo cha mapato kwa kaya. Hurutubisha udongo. Linaweza kuchanganywa na mazao mengine shambani kama vile mahindi na mtama. Ili kujipatia mazao mengi na bora ya mbaazi ya mda mrefu zingatia maelezo yaliyomo katika kipeperushi hiki.