Jinsi ya kufanya kilimo bora cha giligilani

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018-12-08

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Farmers MARKET

Abstract

Kilimo cha Giligilani (coriander) ni mradi mkubwa unaojitosheleza na zao hili huchukua muda mfupi toka kuotesha hadi kuvuna. Giligilani hutumika kama kiungo cha chakula katika mapishi mbalimbali kama nyama, supu au mchuzi. Giligilani hulimwa katika maeneo mengi ya Tanzania hususani mikoa ya Mbeya, Iringa na Arusha.

Description

Keywords

Kilimo cha Giligilani, Aina za giligilani

Citation

Collections