Ufugaji wa kuku

Loading...
Thumbnail Image

Date

2023

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kituo cha mafunzo ya wakulima

Abstract

Mfugaji wa kuku ana jukumu la kuhakikisha kuku wake wanaishi katika mazingira mazuri kiasi cha kutosha kufanya uzalishaji.Kuku ni jamii ya ndege wanaofugwa.Vifaranga ni watoto wa kuku waliotoka kwenye yai wenyeumri kuanzia siku ya 0 mpaka miezi Kuku wanaokuwa: Hawa ni kuku waliotoka kwenye hatua ya vifaranga,umri ni miezi 2.5- 5.Kuku wakubwa ni kuku waliomaliza hatua ya kuku wanaokuwa,umri wao ni kuanzia miezi 5 na kuendelea.

Description

Keywords

Kuku, Ufugaji, Chotara

Citation

https://www.kilimo.org

Collections