Ulaji mboga pekee unaweza kuwa na manufaa gani kwa afya ya mwanadamu

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018-09-07

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Shirika la chakula duniani

Abstract

Kumeshuhudiwa kuibuka suala la umuhimu wa kula mboga katika miaka ya hivi karibuni hasa kutokana na wasi wasi kuhusu afya zetu, harakati za wateteaji wa haki za wanyama na mazingira. Walaji mboga tu ni wale ambao hawali nyama, kuku, samaki au bidha zozote kutoka kwa wanyama, yakiwemo mayai na bidhaa kama maziwa.

Description

Jarida

Keywords

Ulaji, Mboga za majani, Faida za mboga za majani, Mboga

Citation

Collections