Ulaji mboga pekee unaweza kuwa na manufaa gani kwa afya ya mwanadamu
Loading...
Date
2018-09-07
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Shirika la chakula duniani
Abstract
Kumeshuhudiwa kuibuka suala la umuhimu wa kula mboga katika miaka ya hivi karibuni hasa kutokana na wasi wasi kuhusu afya zetu, harakati za wateteaji wa haki za wanyama na mazingira.
Walaji mboga tu ni wale ambao hawali nyama, kuku, samaki au bidha zozote kutoka kwa wanyama, yakiwemo mayai na bidhaa kama maziwa.
Description
Jarida
Keywords
Ulaji, Mboga za majani, Faida za mboga za majani, Mboga