Uhakika wa Chakula Katika Kaya
| dc.contributor.author | Kinabo J. L. | |
| dc.date.accessioned | 2025-12-19T07:16:17Z | |
| dc.date.available | 2025-12-19T07:16:17Z | |
| dc.date.issued | 2001 | |
| dc.description | Kipeperushi | |
| dc.description.abstract | Uhakika wa chakula unamaanisha kuwepo kwa chakula cha kutosheleza mahitaji ya jamii nzima kwa muda wote kwa ajili ya afya bora. Kaya ambayo hai- wezi kutimiza mahitaji yake ya chakula kwa kipindi cha mwaka mzima haina uhakika wa chakula. Kaya hiyo inatambulika kuwa ina tatizo sugu la uhakika wa chakula. Mara nyingi kaya hizo huwa ni maskini kupindukia na hasa wale wasio na ardhi au kitega uchumi chochote. Tatizo la muda mfupi wa uhakika wa chakula ni lile ambalo kaya ina uwezo wa kupata chakula kwa kipindi kifupi tu cha mwaka. | |
| dc.identifier.uri | https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/955 | |
| dc.language.iso | other | |
| dc.publisher | Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine | |
| dc.subject | Lishe na Afya | |
| dc.subject | chakula bora | |
| dc.title | Uhakika wa Chakula Katika Kaya | |
| dc.type | Other |