Maonyesho ya kimataifa ya Nanenane
Loading...
Date
2025
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Abstract
Bodi ya Nyama Tanzania imeundwa chini ya Sheria ya Nyama Namba 10 ya Mwaka 2006 na kuzinduliwa tarehe 14 Novemba 2008. Bodi imepewa mamlaka
ya kusimamia utekelezaji wa Sheria ya nyama kwa lengo la kuweka misingi madhubuti ya kiutawala ili kuhakikisha uzalishaji, usindikaji na biashara ya
nyama na bidhaa zake unazingatia viwango vya ubora ili kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje.
Description
Jarida
Keywords
NYAMA, NANENANE, JIKO LA KUCHOMEA NYAMA, KUKU, NG'OMBE, MBUZI, MALISHO BORA, NDAMA WA NG’OMBE, MAZIWA, MALISHO, UVUVI, UGONJWA WA MDONDO, KAA, MWANI, SAMAKI