Ni muhimu kuuza kwa pamoja: Faida ya soko la pamoja

Loading...
Thumbnail Image

Date

2014-09

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Farm Radio International

Abstract

Zao la muhogo limekuwa likifanyiwa biashara katika miji mbalimbali hapa Tanzania. Wanawake wafanya biashara wadogo wadogo wamekuwa wakiuza mihogo katika viunga mbalimbali vya miji katika foleni za magari na pia idadi ya watumiaji wanaonunua unga wa muhogo katika maduka mbalimbali inaongezeka. (Hiki ni kipindi kwa ajili ya wataarishaji wa Vipindi vya Redio)

Description

Keywords

Biashara, Masoko, Wakulima, Kipindi cha redio, Muhogo

Citation