Jarida maalum la nanenane
| dc.contributor.author | Wizara ya Mifugo na Uvuvi | |
| dc.date.accessioned | 2026-03-31T08:36:29Z | |
| dc.date.available | 2026-03-31T08:36:29Z | |
| dc.date.issued | 2025 | |
| dc.description | Jarida | |
| dc.description.abstract | Wizara ya mifugo na uvuvi imeibuka na ushindi huo baada ya kuongoza katika vigezo mbalimbali hali iliyochagizwa na maandalizi mazuri iliyofanya katika maonesho hayo huku kivutio kikubwa kikiwa ni Paredi ya Mifugo iliyoambatana na maonesho ya Ndege nyuki maalum inayotumika kwenye udhibiti wa Uvuvi haramu. Akizungumza katika kilele cha Maonesho hayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan mbali na kuipongeza Wizara hiyo kwa jitihada ilizochukua katika udhibiti wa magonjwa ya Mifugo kupitia utekelezaji wa kampeni ya kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo, ameielekeza kuhakikisha inaweka kituo cha Ugani kwenye viwanja vya Maonesho hayo jijini Dodoma ambavyo rasmi leo vimetambulishwa kwa jina la Dkt. John Samwel Malecela ili wananchi waendelee kunufaika na elimu ya masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya Mifugo na Uvuvi | |
| dc.identifier.uri | https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/973 | |
| dc.language.iso | other | |
| dc.publisher | Wizara ya Mifugo na Uvuvi | |
| dc.subject | MIFUGO | |
| dc.subject | UVUVI | |
| dc.subject | SAMAKI | |
| dc.subject | UVUVI HARAMU | |
| dc.title | Jarida maalum la nanenane | |
| dc.type | Other |