Mboga mboga na matunda.

Loading...
Thumbnail Image

Date

2023-08-25

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

LIshe4life

Abstract

Matunda na mboga mboga, kama vile nanasi na brokoli, huchochea mfumo wa mmeng’enyo mwilini, kufanya hivyo kuwa rahisi kumeng’enya chakula na kupunguza maumivu ya tumbo. Matunda yana vimeng’enya ambavyo husaidia katika mchakato wa mmeng’enyo, huku mboga mboga zikitupatia makapimlo yanayosaidia katika kulainisha njia ya chakula.

Description

Public use

Keywords

Mboga mboga, Matunda

Citation

https://lishe4life.com/faida-za-ulaji-wa-matunda-na-mboga-mboga-kwa-afya/

Collections