Kilimo cha migazi - michikichi

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018-08

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kilimo Hai Blog

Abstract

Migazi au michikichi ni mimea aina ya mitende inayostawi vizuri kwenye udongo wenye rutuba nyingi na uisojaa maji wakati wote. Mimea hiyo hupenda pia mvua nyingi. Matunda ya migazi au michikichi hutoa mafuta yanayoitwa mawese. Mafuta ya mawese yana rangi ya manjano na hutumika kwa kuungia aina mbalimbali za mboga za majani, maharage au aina mbalimbali za kitoweo.

Description

Keywords

Migazi, Michikichi, Mawese, Mafuta, Mitende

Citation

Collections