Kilimo Shadidi cha Mpunga
dc.contributor.author | Tume ya Taifa ya Umwagiliaji | |
dc.date.accessioned | 2023-12-28T05:00:48Z | |
dc.date.available | 2023-12-28T05:00:48Z | |
dc.date.issued | 2023 | |
dc.description.abstract | Kilimo shadidi cha mpunga (System of Rice Intensification—SRI) ni teknolojia bora yenye kutumia maji na mbegu kidogo kwa kutoa mavuno mengi. Hutumika kwa ku- badilishana kati ya kulowanisha kwa siku 3 na kukausha ardhi kwa siku 7 kwa kina cha sentimita 2 za maji yaliyotuama. Mu- da wa ukavu huweza kuwa kati ya siku 4 - 7. Mipasuko ya udongo kwenye jaruba ni kiashiria cha kumwagilia maji kwenye jaruba. Kama udongo ni wa mfinyanzi ta- hadhari kubwa yatakiwa kutoruhusu mipasuko ya kupitiliza kabla ya kum- wagilia ili kuepuka maji mengi kupotea isivyotarajiwa. | en_US |
dc.identifier.uri | http://10.10.11.5/xmlui/handle/123/785 | |
dc.publisher | Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania | en_US |
dc.subject | Kilimo | en_US |
dc.subject | Mpunga | en_US |
dc.title | Kilimo Shadidi cha Mpunga | en_US |
dc.type | Article | en_US |
Files
Original bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- sw1628005317-KILIMO SHADIDI CHA MPUNGA SRI_2019.pdf
- Size:
- 1.05 MB
- Format:
- Adobe Portable Document Format
- Description:
- main articles
License bundle
1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
- Name:
- license.txt
- Size:
- 1.71 KB
- Format:
- Item-specific license agreed upon to submission
- Description: