Matumizi ya kiuagugu kwenye mikorosho
Loading...
Date
2025
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI)
Abstract
Jinsi ya kudhibiti magugu wakati wa kuanzisha shamba inashauriwa kuchimba visiki na vichaka vyote. Changanya mazao ya msimu katika shamba la Mikorosho hadi pale Mikorosho itakapo songamana. Fanya palizi ya shamba la Mikorosho kwa kulima kwa jembe la mkono, trekta au fyeka kwa kutumia panga au zana zozote.
Description
Kipeperushi
Keywords
Mikorosho, Magugu, Viatilifu