Mwongozo wa ufugaji bora wa sungura

Loading...
Thumbnail Image

Date

2020

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya mifugo na uvuvi

Abstract

Sungura wako katika kundi la mamalia wadogo katika familia ya Leporidae ya oda ya Lagomorpha .Kuna aina zaidi ya 45 za sungura duniani kote ambazo zinatofautiana kulingana na rangi ukubwa pamoja na matumizi.Sungura hutupatia nyama nyeupe isiyo na mafuta ya lehemu(cholesterol ) na hivyo wataalamu wa lishe huimiza nyama ya sungura kwani ni bora kwa afya hivyo kuitwa nyama tiba.

Description

Keywords

Sungura, Mwongozo, Ufugaji bora

Citation

https://www.mifugouvuvi.go.tz

Collections