Mbinu bora za ufugaji samaki kwenye mabwawa ya kuchimba.

Loading...
Thumbnail Image

Date

2021

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Abstract

Ufugaji wa samaki ni miongoni mwa tasnia inayopewa kipaumbele na jamii mbalimbali hapa nchini, kwa kuwa inatoa fursa za kuongeza kipato, lishe na ajira. Ufugaji wa samaki huweza kufanywa sambamba na kilimo, hususani cha bustani na ufugaji wa wanyama. Ufugaji wa samaki huweza kufanyika kwa lengo la kujikimu katika ngazi ya familia na kibiashara

Description

Keywords

Ufugaji wa samaki, mabwawa ya samaki, Samaki

Citation

Collections