Jarida la Mifugo na Uvuvi

Loading...
Thumbnail Image

Date

2025-04

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Abstract

Serikali imekuwa ikichukua hatua na kutekeleza mikakati mbalimbali ya kukabiliana na uvuvi haramu. Mikakati hiyo ni pamoja na kufanya maboresho ya Sera, Sheria, Kanuni na Miongozo inayosimamia rasilimali za uvuvi ikiwemo matumizi ya teknolojia za kisasa katika kusimamia rasilimali za uvuvi, kuimarisha Vikundi vya Usimamizi Shirikishi wa Rasilimali za Uvuvi (BMUs), kutoa elimu ya kudhibiti uvuvi haramu na matumizi endelevu ya rasilimali za uvuvi, kuhamasisha uanzishwaji wa Vyama vya Ushirika wa Wavuvi na kuimarisha ufugaji wa viumbe maji.

Description

Jarida

Keywords

MIFUGO, UVUVI, CHANJO, MALISHO, SAMAKI, UVUVI HARAMU

Citation

Collections