Kilimo bora cha tumbaku

Loading...
Thumbnail Image

Date

2022-11-23

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Bodi ya tumbaku tanzania

Abstract

Tumbaku huzalishwa kwa ajili ya majani yake,majani ya tumbaku yanapo komaa huvunwa na tumbaku hutumika hasa kutengeneza sigara.Aina za tumbaku zinazo limwa Tanzania ni tumbaku ya mvuke (VFC) na tumbaku ya moshi (DFC). Tumbaku ya Moshi hulimwa kusini mwa Tanzania hasa Ruvuma na tumbaku ya Mvuke hulimwa Tabora, Shinyanga, Kigoma, Katavi, Iringa, Mbeya, Songwe, Singida, Morogoro, Mara, Kagera na Geita.

Description

Keywords

Kilimo, Tumbaku, Bodi

Citation

www.tobaccoboard.go.tz

Collections