Kilimo cha Tufaa - Apples

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018-08

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kilimo Tanzania Blog

Abstract

Tufaa ni tunda moja maarufu duniani ambalo hupendwa kuliwa na watu wa jamii zote, hii inatokana na utamu wake pamoja na faida za kiafya zinazopatikana kwa kula matufaa. Matunda haya hustawi zaidi kwenye nyanda za juu ambako joto sio kali, sehemu kama lushoto, Arusha, miteremko ya Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Njombe, Songea nk. Udongo ni wenye rutuba ya kutosha na usiotuamisha maji

Description

Keywords

Tufaa, Matunda, Apples

Citation

Collections