Kilimo bora cha ufuta

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kilimo Tanzania

Abstract

Ufuta (simsim/sesame) ni zao la kibiashara ambalo mbegu zake zina kiasi kikubwa cha mafuta kiasi cha asilimia 45 hadi 55.Na zao hili linaweza kulimwa maeneo mengi ya Afrika mashariki na Tanzania.Ni zao ambalo linatowa mafuta yenye thamani kubwa na hivyo kulifanya zao bora la biashara.

Description

Keywords

Ufuta, Mbegu za mafuta, Sesame, Simsim

Citation

Collections