Uzalishaji bora wa mifugo

Loading...
Thumbnail Image

Date

2014-11-16

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

TARP II-SUA Project

Abstract

Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo na Chakula, na Chuo Kikuu Cha Kilimo Cha Norway, kinatekeleza mradi huu wa utafiti wa Uhakika wa Chakula na Pato la Kaya kwa Wakulima Wadogowadogo Tanzania. Mradi huu ambao ulianza rasmi Septemba 2000, unagharimiwa na Serikali ya Norway.

Description

Keywords

Mifugo, Uzalishaji wa wanyama

Citation

Collections