Mboga za watu wa Pwani - Kilifi Utamaduni Conservation Group

Loading...
Thumbnail Image

Date

2011

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Bioversity International

Abstract

Kitabu kinazungumzia mbogamboga za watu wa pwani ukanda wa Mombasa nchini Kenya na ikiwa ni kielelezo cha mboga zote za Kimijikenda. Mijikenda maana yake ni makabila tisa yanayosikilizana kwa lugha. Makabila hayo tisa ya Mijikenda ni Digo, Giryama, Kambe, Duruma, Rabai, Ribe, Jibana, Chonyi na Kauma.

Description

Keywords

Mboga mboga, Pwani, Chakula

Citation

Collections