Mihogo - njia bora za ukaushaji na usindikaji
Loading...
Date
2009-12
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Mitiki Blogspot
Abstract
Mihogo mibichi iliyovunwa huoshwa mara mbili. Uoshaji wa kwanza ni ule wa kuondoa udongo baada ya kuvuna, na uoshaji wa pili ni baada ya kumenya mihogo kabla ya kukausha.Baada ya kuoshwa mihogo humenywa kwa kutumia kisu kikali, na kutumbukizwa ndani ya maji safi. Baada ya kumenya kiasi kinachotakiwa mihogo huoshwa na maji safi hadi kuwa myeupe.
Description
Keywords
Mihogo, Muhogo