Mihogo - njia bora za ukaushaji na usindikaji

Loading...
Thumbnail Image

Date

2009-12

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mitiki Blogspot

Abstract

Mihogo mibichi iliyovunwa huoshwa mara mbili. Uoshaji wa kwanza ni ule wa kuondoa udongo baada ya kuvuna, na uoshaji wa pili ni baada ya kumenya mihogo kabla ya kukausha.Baada ya kuoshwa mihogo humenywa kwa kutumia kisu kikali, na kutumbukizwa ndani ya maji safi. Baada ya kumenya kiasi kinachotakiwa mihogo huoshwa na maji safi hadi kuwa myeupe.

Description

Keywords

Mihogo, Muhogo

Citation