Usajili wa aina mpya za mbegu za mimea ya mazao
Loading...
Date
2017
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
TOSCI
Abstract
Utaratibu wa Kusajili Aina Mpya za Mbegu. Kanuni ya 7 ya mbegu inataka kila aina mpya ya mbegu itakayosajiliwa nchini ifanyiwe majaribio ya Utambuzi (DUS Test) na Umahiri (NPT) isipokua kwa aina za mboga mboga ambazo husajiiwa baada ya kufanya jaribio la utambuzi tu. Pia Kanuni ya mbegu (4(2)) inaruhusu Tanzania kupokea taarifa ya majaribio ya Utambuzi kutoka nchi wanachama wa UPOV.
Description
kipeperushi
Keywords
MBEGU, MAZAO