Mazao ya jamii ya mizizi
Loading...
Date
2003-06
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
chuo cha kilimo cha Sokoine
Abstract
Wanawarsha pia waliorodhesha mazao ya jamii ya mizizi ili kuelewa
aina za mazao haya.
Aina tano za mazao ya jamii ya mizizi
yaliorodheshwa nayo ni: Muhogo, Viazi vitamu, Magimbi, Viazi
vikuu, Viazi mviringo, angawizi na Karoti. Wanawarsha
walikubaliana kuwa mazao ya jamii ya mizizi ambayo wakulima
wengi wanalima ni matano na hayo yakapcwa kipaumbele kwa
kutumia mbinu ya mlinganisho jozi
Description
Keywords
Mazao, mizizi, chakula