Mazao ya jamii ya mizizi

Loading...
Thumbnail Image

Date

2003-06

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

chuo cha kilimo cha Sokoine

Abstract

Wanawarsha pia waliorodhesha mazao ya jamii ya mizizi ili kuelewa aina za mazao haya. Aina tano za mazao ya jamii ya mizizi yaliorodheshwa nayo ni: Muhogo, Viazi vitamu, Magimbi, Viazi vikuu, Viazi mviringo, angawizi na Karoti. Wanawarsha walikubaliana kuwa mazao ya jamii ya mizizi ambayo wakulima wengi wanalima ni matano na hayo yakapcwa kipaumbele kwa kutumia mbinu ya mlinganisho jozi

Description

Keywords

Mazao, mizizi, chakula

Citation

Collections