Hatua za ukaushaji wa mchicha kwa kutumia kaushio la mionzi ya jua: Mradi wa kusindika kibiashara kwa baadhi ya matunda na mbogamboga hususan maembe, makarara na mchicha Tanzania na Rwanda.

Loading...
Thumbnail Image

Date

2011-02

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

ASARECA

Abstract

Mchicha wenye vishindo. Ulionyauka au kuharibika hauchambuliki kwa urahisi na pia hushusha ubora wa bidhaa ya mwisho. Mchicha ulio zeeka hua na nyuzinyuzi ambazo ni ngumu kuiva, kutafunikika na haziwezi kumeng’enywa katika mfumo wa chakula na hivyo kuukoseshea mwili virutubisho.

Description

Keywords

Usindikaji, Mchicha, Maembe, Makarara

Citation