Kilimo Bora cha Viazi vitamu

Loading...
Thumbnail Image

Date

2022-06-25

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele

Abstract

Viazi vitamu ni miongoni mwa mazao muhimu ya chakula nchini Tanzania. Zao hili hustawi karibu mikoa yote hapa nchini Tanzania. Kwa uzalishaji, viazi vitamu vinashika nafasi ya nne baada ya Mahindi, Muhogo na Maharage. Viazi vitamu pia vinashika nafasi ya tatu kwa umuhimu baada ya Muhogo na viazi mviringo kwa mazao ya chakula aina ya mizizi na jamii ya viaz

Description

Keywords

Kilimo, Viazi Vitamu

Citation

Collections