Baadhi ya vyakula na viungo vinavyosaidia kukabiliana na matatizo mbalimbali ya kiafya.

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Taasisi ya chakula na lishe.

Abstract

Watu wanaishi na virusi vya ukimwi na wenye ukimwi mara nyingi hupata matatizo ya ulaji ,umeng'enywaji, ufyonzwaji wa chakula mwilini ,mengine ni kupoteza hamu ya kula,mafua ya mara kwa mara ,vidonda vya kooni na kuharisha.Baadhi ya vyakula na viungo hivyo tangawizi,karoti nk.

Description

Keywords

Vyakula, Viungo, Matatizo, Kiafya

Citation

www.tfnc.or.tz

Collections