Ufugaji bora wa sungura - 1

Loading...
Thumbnail Image

Date

2005

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

International Tanfeed Ltd

Abstract

Ufugaji wa sungura ni moja wapo ya chanzo kizuri cha mapato nchini Tanzania kama watanzania watafanya yafuatayo, • Mfugaji anatakiwa awe na shauku na dhamira ya kweli ya ufugaji. • Kufanya tathmini ya rasilimali alizonazo kwa ajili ya mradi wa ufugaji wa sungura. • Chanzo endelevu cha mtaji kwa ajili ya mradi. • Hulka ya uvumilivu na kuthubutu. • Malengo thabiti ya ufugaji wa sungura. • Tathmini ya soko la bidhaa za sungura. • kujipatia maarifa ya msingi ya ufugaji wa sungura

Description

Keywords

Sungura, Ufugaji

Citation

Collections