Ufugaji bora wa sungura - 1
Loading...
Date
2005
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
International Tanfeed Ltd
Abstract
Ufugaji wa sungura ni moja wapo ya chanzo kizuri cha mapato nchini Tanzania kama
watanzania watafanya yafuatayo,
• Mfugaji anatakiwa awe na shauku na dhamira ya kweli ya ufugaji.
• Kufanya tathmini ya rasilimali alizonazo kwa ajili ya mradi wa ufugaji wa sungura.
• Chanzo endelevu cha mtaji kwa ajili ya mradi.
• Hulka ya uvumilivu na kuthubutu.
• Malengo thabiti ya ufugaji wa sungura.
• Tathmini ya soko la bidhaa za sungura.
• kujipatia maarifa ya msingi ya ufugaji wa sungura
Description
Keywords
Sungura, Ufugaji