Kilimo cha Majani ya Malisho ya Mifugo

Loading...
Thumbnail Image

Date

2022-09

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

SUA

Abstract

Wafugaji nchini Tanzania wametakiwa kuanza kulima majani aina ya JUNCAO yanayozalishwa katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kutokana na majani hayo kuonekana kuwa na faida nyingi kwa mifugo na uwezo wake wa kukua haraka na kuvumilia ukame na hivyo kupunguza changamoto za malisho wakati wa kiangazi na kumaliza migogogo ya wakulima na Wafugaji.

Description

Public Use-Tanzanian

Keywords

Kilimo cha Malisho ya Mifugo

Citation

https://sua.ac.tz/news/majani-ya-juncao-kuwa-suluhisho-la-malisho-ya-mifugo

Collections