Faida za chai katika kupambana na magonjwa

Loading...
Thumbnail Image

Date

2024-05-30

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Shirika la chakula duniani

Abstract

Kuna faida za kiafya za kunywa chai ambazo labda huzijui. Chai ni mojawapo ya vinywaji vinavyotumiwa sana duniani na imekuwa ikitumiwa kwa karne nyingi. Kuna aina tofauti za chai; nyeusi, kijani, nyeupe na rangi zingine. Kila moja ina ladha yake ya kipekee na sifa na aina ya jani la chai na usindikaji wake.Mei 21 pia huadhimishwa kama Siku ya Chai Duniani. Je, chai ina faida gani kwa afya ya binaadamu?

Description

Jarida

Keywords

Magonjwa, Chai, Vyakula

Citation

Collections