Zifahamu mbolea za asili na matumiz yake kwaajili ya kuotesha mazao
Loading...
Date
2020-12-11
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Abstract
Wapendwa wasomaji wa makala za kilimo katika blog yetu ya Kilimo bora leo tumekuandalia makala nzuri juu ya Mbolea . Mbolea kwa maana ya kueleweka kwa haraka ni kitu chochote kinacho ongeza virutubisho muhimu kwenye udondo ambavyo hutumiwa na mimea ili kuboresha ukuaji wa mimea na upatikanaji wa mavuno mazuri.
Kuna aina mbalimbali za mbolea kama mbolea za asili Mbolea za asili mfano, Samadi, Mboji, mbolea za kijani na Mbolea za viwandani mfano DAP, YaraMila
Description
Mbolea za asili
Keywords
Zifahamu mbolea za asili na matumizi yake kwa ajili ya kuotesha mazao
Citation
ttphs://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/mbegu-ya- thahabu/uzuri-na-ubaya-wa-mbolea-za-asili-2831696