Kilimo Bora cha Mihogo

Loading...
Thumbnail Image

Date

2022-06-25

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele

Abstract

1.0 Utangulizi. Muhogo ni miongoni mwa mazao makuu ya chakula richini Tanzania. Inakadiriwa kuwa tani milioni lino (5) za muhogo mbichi zinazalishwa hapa nchini kwa mwaka. Kanda zinazoongoza kwa uzalishaji ni Kanda ya ziwa (37%), Kanda ya kusini (28%) na Kanda ya mashariki (12%). Karibu 75% ya muhogo unaozalishwa hutumika kwa chakula. Muhogo huvumilia ukame na pia hufanya vizuri hata katika ardhi yenye rutuba hafifu «kilinganisha na mazao mengine.

Description

Keywords

Kilimo, Mihogo

Citation

Collections