Mkulima Mbunifu, Jarida la Kilimo Endelevu Afrika Mashariki Toleo 112

Loading...
Thumbnail Image

Date

2022-01

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Biovision

Abstract

Toleo hili lina makala kuhusiana na Kanuni za kilimo hai na mazingira, Matumizi bora ya ardhi - Ekari moja ya ardhi iliyopangiliwa huimarisha uchumi wa familia, Uchafu husababisha magonjwa ya ngozi kwa mifugo, Matumizi sahihi ya mbolea ya samadi itokanayo na kinyesi cha Popo, Ni muhimu kuwa na mzani katika ufugaji wa nguruwe, Lishe bora husaidia ukuaji wa mtoto na makala ya Kilimo hai kimenifungua macho na kunionyesha fursa za kilimo.

Description

Keywords

Kilimo hai, Mazingira, Ardhi, Matumizi bora, Ufugaji, Samadi, Popo, mbolea, Nguruwe, Lishe, Watoto

Citation

Collections