Tabia za ukuaji wa nyasi aina ya Brachiaria katika ukanda wa juu wa nyada za kusini mwa Tanzania (Rungwe).
Date
2021
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Sokoine University of Agriculture
Abstract
Ufugaji nchini Tanzania unakabiliwa na uhaba wa malisho na hivyo kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa maziwa. Tafiti zilizotangulia zinaonesha kuwa uzalishaji kwa sasa ni kati ya lita 4 hadi 8 badala ya lita 15 kwa ng’ombe kwa siku (Mtengeti na wengine 2018).
Description
Keywords
Brachiaria, Nyasi, Nyada za juu kusini, Tanzania