Faida 20 Mwilini za kula Bamia

Loading...
Thumbnail Image

Date

2024-10-03

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Global

Abstract

JAPOKUWA bamia huchukuliwa na wengi kuwa ni chakula rahisi kinachotumiwa zaidi na kundi la watu wenye uchumi wa chini na kati, ukweli kwamba aina hiyo ya mboga ina maajabu ya aina yake mwilini. Walaji wa bamia hunufaika kwa kupata utitiri wa viinilishe vilivyomo kwenye zao hilo, ambavyo humpatia mlaji faida za kiafya takribani 20

Description

Keywords

Bamia, Faida za bamia

Citation

https://globalpublishers.co.tz/faida-20-mwilini-za-kula-bamia/

Collections