Ufugaji wa kambale kitaalamu II

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018-05

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kilimo Tanzania Blog

Abstract

Katika toleo liliotangulia, tulizungumzia kuhusu utayarishaji wa mabwawa na matangi ya kufugia kambare, muda na kiasi cha mbolea na chokaa kinachohitajika kuongezwa kabla ya kuingiza samaki, uchaguzi na usafirishaji wa vifaranga vya kambare. Katika toleo hili tunamalizia kwa kuangalia mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kuingiza vifaranga hivyo kwenye bwawa.

Description

Keywords

Kambale, Samaki, Mabwawa

Citation

Collections