Kilimo bora cha bilinganya.

Loading...
Thumbnail Image

Date

2023-03-21

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

SUA

Abstract

Bilinganya imo katika jamii ya mimea inayohusisha nyanya, pilipili, viazi mviringo na nyanya mshumaa. Mboga hii ina viini lishe muhimu kama vile madini aina ya chokaa na chuma, Vitamini A, B na C, wanga, protini na maji. Mboga hii hutumika kutengeneza supu au kama kiungo katika vyakula mbalimbali.

Description

Keywords

Bilinganya, Kilimo bora

Citation

Collections