Wanyamapori Tanzania

Loading...
Thumbnail Image

Date

2006-12

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya maliasili na utalii

Abstract

Taarifa za wataalam zinaonyesha kuwa vina vya maji katika Ziwa Victoria na Ziwa Rukwa vimepungua sana kutokana na uharibifu wa mazingira ambao nchi zilizoendelea hupendelea kuuita Mabadiliko ya Hali ya Hewa" ili kuficha ukweli wakati ni malokeo ya uharibifu wa mazinbgira. Kwa ujumla, mabadiliko ya hali ya hewa ni matokeo ya uharibifu wa mazingira unaotokana na binadamu. pia hutokana na kazi za viwandani ambazo pia zimekuwa zikisababisha moshi ambao huharibu kiambaza kinachozuia watu wa.siaihirike na niiale ya jua.

Description

Keywords

Wanyamapori, Mazingira, Uharibifu

Citation

http//www.newafnca.com/tanzaniawildlife

Collections