Kilimo bora cha ufuta

Loading...
Thumbnail Image

Date

2022-06-25

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele

Abstract

Ufuta ni zao la biashara ambalo hutumika kama chakula cha binadamu.Mbegu zake hutumika kutengeneza vyakula mbalimbali kama kashata, mikate, tui,bwimbwi, mashudu yake hutumika kulisha mifugo.Tanzania ni nchi ya kwanza duniani kwa uzalishaji wa ufuta ikifuatiwa na Myanmar na India (chanzo:FAO 2018. Ufuta hustawi zaidi mikoa ya Lindi, Mtwara,Dodoma,Manyara na Mbeya

Description

Keywords

Kilimo, Ufuta

Citation

Collections