Kilimo bora cha alizeti
Loading...
Date
2022
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania( TARI)
Abstract
Zao la alizeti ni miongoni mwa mazao ya mbegu za
mafuta, zao hili hutoa mafuta ya kula kwa binadamu
na mashudu kwa ajili ya chakula cha mifugo.
Alizeti ni zao lenye thamani kiuchumi na mafuta
hutumika katika utengenezaji wa vipodozi, madawa
na nishati mbadala kwenye viwanda
Maua ya alizeti hutumika kama mapambo na kutoa
chavua kwa ajili ya nyuki kutengeneza asali
Description
Kipeperushi
Keywords
Alizeti