Tanzania iyajo uvuvi wa kisasa unaotumia sayansi, teknolojia na ubunifu

Loading...
Thumbnail Image

Date

2015

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya Kilimo uvuvi na ushirika

Abstract

Samaki wamekuwa ni chanzo kizuri na kikubwa cha protein Duniani. Ulaji wa samaki umeongezeka maradufu tokea Mwaka 1973; asilimia 90 (90%) la ongezeko hilo likiwa kwa nchi zinazoendelea (Developing Countries). Tani milioni 45.4 za samaki zililiwa Duniani Mwaka 1973: India-tani milioni 1.8, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara-tani milioni 2.6; China-tani milioni 4.9 na Japan-tani milioni 7.6. Benki ya Dunia (WB) inakadiria kwamba ifikapo Mwaka 2030, asilimia 70 (70%) ya mahitaji (matumizi/ulaji) ya samaki yatatokea kwenye Bara la Asia.

Description

Keywords

Uvuvi, Samaki, Baharini, Maziwa

Citation

Collections