Tathmini ya hali ya lishe,unasihi na huduma za lishe (NACS)

Loading...
Thumbnail Image

Date

2017-12

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya afya

Abstract

Taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TFNC). 2013. Ulishaji wa watoto wachanga na wadogo: Bango kitita lenye ujumbe muhimu. Dar es Salaam, Tanzania: Taasisi ya chakula na lishe Tanzania na kuchapishwa kwa ufadhili wa shirika la kuhudumia watoto duniani (UNICEF). Vyakula vya nafaka, mizizi na ndizi mbichi vyakula hivi ndivyo vinavyochukua sehemu kubwa ya mlo na kwa kawaida ndiyo vyakula vikuu. Vyakula katika kundi hili ni pamoja na mahindi, mchele, mtama, ulezi, ngano, uwele, viazi vikuu, viazi vitamu, mihogo, magimbi, viazi mviringo na ndizi mbichi.

Description

Keywords

Hali ya lishe, Huduma za Lishe, Unasihi

Citation

Tovuti: www.lishe.org

Collections