Vyama vya Wamwagiliaji
Loading...
Date
2023
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Abstract
Kanuni ya 97 ya kanuni za Umwagiliaji inaelekeza uundaji wa kamati ya usuluhishi wa migogoro yenye wajumbe wasiopungua 3 na wasiozidi 5 wali- ochaguliwa miongoni mwa wanachama. Wajumbe wa kamati ya usuluhishi watachaguliwa katika mku- tano mkuu ambao hawatatokana na wajumbe au viongozi waliopo katika kamati kuu ya Usimamizi.
Description
Keywords
Umwagiliaji, Vyama