Vyama vya Wamwagiliaji

Loading...
Thumbnail Image

Date

2023

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Abstract

Kanuni ya 97 ya kanuni za Umwagiliaji inaelekeza uundaji wa kamati ya usuluhishi wa migogoro yenye wajumbe wasiopungua 3 na wasiozidi 5 wali- ochaguliwa miongoni mwa wanachama. Wajumbe wa kamati ya usuluhishi watachaguliwa katika mku- tano mkuu ambao hawatatokana na wajumbe au viongozi waliopo katika kamati kuu ya Usimamizi.

Description

Keywords

Umwagiliaji, Vyama

Citation