Matunzo ya shamba na uvunaji wa zabibu

dc.contributor.authorTaasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania
dc.date.accessioned2026-02-17T09:00:40Z
dc.date.available2026-02-17T09:00:40Z
dc.date.issued2024
dc.descriptionKipeperushi
dc.description.abstractMATUNZO YA SHAMBA NA UVUNAJI Ili kupata mavuno yenye tija ni muhimu kutunza vizuri shamba la mizabibu. Matunzo ya shamba ni pamoja na kupalilia, kutifulia, kudhibiti visumbufu na kukatia mizabibu.  Palilia shamba mara kwa mara ili kudhibiti magugu, kwa wastani palizi tatu zinatosha katika msimu mmoja .  Ni muhumu kutifulia udongo kwenye shamba la mizabibu kila wakati ili kuvuna maji ya mvua.
dc.identifier.urihttps://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/959
dc.language.isoother
dc.publisherTARI
dc.subjectZabibu
dc.subjectMtunzo ya zabibu
dc.subjectUvunaji wa zabibu
dc.titleMatunzo ya shamba na uvunaji wa zabibu
dc.typeOther

Files

Original bundle
Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
MATUNZO YA SHAMBA NA UVUNAJI WA ZABIBU.pdf
Size:
219.59 KB
Format:
Adobe Portable Document Format
License bundle
Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description:

Collections