Kilimo cha mbaazi za muda mrefu

Thumbnail Image

Date

2025

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mradi wa IFAD

Abstract

Mbaazi ni zao la jamii kubwa ya mazao aina ya mikunde, faida zake kubwa ni chanzo cha viini lishe vya protini kwa binadamu na wanyama, linavumilia ukame, hupunguza umasikini kwani zao hili ni chanzo cha mapato kwa kaya, hurutubisha udongo kwani katika kilima kwake linaweza kuchanganywa na mazao mengine shambani kama vile mahindi na mtama.

Description

Kipeperushi

Keywords

Mbaazi

Citation

Collections