Dhibiti ugonjwa wa Ubwiri unga wa Mikorosho kwa kutumia kiuatilifu cha maji.
Loading...
Date
2025
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
TARI
Abstract
Moja ya matatizo makubwa ya uzalishaji wa zaola korosho ni ugonjwa wa Ubwiri unga, ambaoumeenea katika mikoa yote Tanzania. Ugonjwa huo husababishwa na vimelea aina ya kuvu nahuweza kupunguza mavuno kwa zaidi ya asilimia 70.